MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Profesa Evaristo Liwa akizungumza machache wakati wa ufunguzi wa semina ya viongozi na wafanyakazi wa ARU iliyoendeshwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass (kushoto) na Mwanadiplomasia Lucas Jackson (hayupo pichani) chuoni hapo mwishoni mwa wiki. Katikati ni Naibu Makamu Mkuu wa chuo, Mipango, Fedha na Utawala, Profesa Robert Kiunsi.
Sehemu ya viongozi na wafanyakazi wa ARU wakishiriki semina hiyo chuoni hapo Ijumaa 22/06/2018.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass akitoa mada ya kuhusu umuhimu wa taasisi za serikali kutoa taarifa kwa umma na kusisitiza kwa mujibu wa sheria zinapaswa kutoa taarifa kwa wana habari ndani ya siku 21 toka zinapokuwa zimehitajika wakati wa semina hiyo iliyofanyika ARU Dar es Salaam siku ya Ijumaa 22/06/2018.
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Profesa Evaristo Liwa (kushoto) na sehemu ya viongozi wa ARU wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass alipokuwa akiwasilisha mada. Kutokea (kushoto) ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Profesa Gabriel Kissenga, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo, Mipango, Fedha na Utawala, Profesa Robert Kiunsi na Mwanadiplomasia kutoka Kituo cha Diplomasia Dar es Salaam, Lucas Jackson (kulia).
Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass akitoa mada ya kuhusu umuhimu wa taasisi za serikali kutoa taarifa kwa umma na kusisitiza kwa mujibu wa sheria zinapaswa kutoa taarifa wana habari ndani ya siku 21 toka zinapokuwa zimehitajika wakati wa semina hiyo iliyofanyika ARU Dar es Salaam siku ya Ijumaa 22/06/2018.
Mkurugenzi wa Maktaba ya Chuo Kikuu Ardhi Dkt. Sophia Lukwale akichangia jambo katika semina hiyo.
Sehemu ya washiriki wa semina ya viongozi na wafanyakazi wa ARU iliyoendeshwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass na Mwanadiplomasia kutoka Kituo cha Diplomasia Dar es Salaam, Lucas Jackson wakisikiliza kwa makini mada chuoni hapo siku ya Ijumaa 22/06/2018.
Mwanadiplomasia kutoka Kituo cha Diplomasia Dar es Salaam, Lucas Jackson akitoa mada ya kuhusu itifaki na taratibu za kitaalam za utoaji huduma kwa jamii wakati wa semina iliyofanyika ARU Dar es Salaam siku ya Ijumaa 22/06/2018.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass akichangia pointi kuhusu maswala ya itifaki katika semina iliyofanyika ARU.
Sehemu ya washiriki wa semina ya viongozi na wafanyakazi wa ARU iliyoendeshwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass na Mwanadilpomasia kutoka Kituo cha Diplomasia Dar es Salaam, Lucas Jackson wakisikiliza kwa makini mada chuoni hap.
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Profesa Evaristo Liwa (wa tatu kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO pia Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbass (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa semina hiyo.
|